Wednesday, January 4, 2012

HAPPY BIRTHDAY DAD.

Dad,Mom na  Mapacha.



Tunamshukuru Mungu kwa kuzidi kutulinda na kuzidi kutukirimia afya iliyo njema.Na leo hii tunapokumbuka siku ya kuzaliwa kwako Baba yetu mpendwa tunazidi kukuombea maisha marefu yenye Amani,Upendo na kila aina ya Fanaka.Mungu akubariki nasi tuzidi kujifunza zaidi na zaidi kupitia kwako kama ilivyo kawaida yetu kupitia kwako.Tunakupenda sana Baba.

No comments:

Post a Comment