Thursday, October 27, 2011

Nawakumbuka marafiki zangu.

Kutoka  kushoto, Mimi,  Michael,  Said  na Emmanuel katika moja ya hafla tulipokuwa chuoni (May 2011)






Ni   wakati   mwingi   sana  tulikuwa  pamoja katika kufanikisha lengo letu la kisomo cha elimu ya juu pale chuoni. Hakika ni suala jema hasa pale tulipomaliza  salama  ila  ilikuwa  ni  sala  zaidi  kwa   kuwa  Mungu alikuwa  pamoja  nasi  katika  kipindi  kile  chote  na  hata  ushirikiano  tulioonyesha  baina  yetu  kama ndugu na naamini  tumejenga  undugu mzuri  tu ambao  utadumu daima na Mungu atutangulie katika lyote  hasa katika ngwe  hii mpya  ya maisha.
Kaka  Michael  Filbert,  Emmanuel  Kasenga ,  Said  Bakema,  Fidelis  Choga  kiukweli mmekuwa chachu kubwa na nimejifunza mengi  kupitia  kwenu na  hayo naamini nitayafanyia kazi na kuyaendeleza   popote pale  nitakapokuwa. Pia nawashukuru hata marafiki zangu wapendwa wengi tu japo siwezi kuwataja wote ila  ni pamoja na France, Maiko, Said Kingu, Abraham, Willy, Pius, Stanley, Samwel, Gidion, Janeth, Leticia, Ramla, Rachel, Teddy, Debora, Emmy, Naumi, Noela, Tunsume, Julie, na  wengineo wengi sana  na bila kusahau makundi mbalimbali niliyofanikisha  kufanya nayo  mijadala mbalimbali  juu  ya  masomo.  I  do  remember you and  i  love u so so much and keep intouch . Much   blessings  and  all the  best.

No comments:

Post a Comment